Tuesday, August 17, 2010

Ilani ya Chadema inatisha!!! - itashtua taifa


Huwa sishtuliwi na mambo mengi ya kisiasa; lakini kama nilichokiona kwa macho yangu ndicho kitakachokuwepo kwenye Ilani ya Chadema basi naweza kusema tu kuwa ni ya "kuthubutu, inatisha na inawaweka CCM pabaya". Kama ndiyo hiyo, basi itabidi CCM warudi darasani kuandika Ilani yao upya maana kama watu watapigia kura Ilani.. basi mtanange huu wa demokrasia 'UNOGILE". Cheche za Fikra itatoka na exclusive mapema Alhamisi baada ya kuzungumza na baadhi ya viongozi wa juu wa Chadema akiwemo Bw. Freeman Mbowe, Tundu Lissu na wengine..



Mwaka huu watu watapigia kura sura au watapigia sera!



yes.. unaitwa "MTANANGE WA DEMOKRASIA"..!!! quote me!

No comments:

Post a Comment