Friday, August 13, 2010

Re: Je Kikwete atakubali matokeo au atakuwa kama Mugabe


So far kwenye chaguzi za uraisi wa Tanzania (na exclude upande wa Zanzibar) sidhani kama kume kuwa na wizi wa kura. Najua kuna irregularities za hapa na pale ila sidhani kwamba chama cha upinzani kimesha wahi kushinda uchaguzi Tanzania na nitaelezea sababu zangu. Kwa wale wakereketwa wa upinzani ambao hawa pendi kusikia ukweli mta nisamehe ila reality is reality.



Tuchukulie mfano uchaguzi wa mwaka 2005. Kikwete alishinda kwa asilimia 81(81%). Sasa mtu una weza ukamake argument na kusema kiwango hicho ni exaggerated, sawa hapo nita sikiliza argument yako. Lakini kwa mfano useme upinzani 2005 ulishindwa haiwezekani. Asilimia 81 ina maana zime baki asilimia 19 ambazo zili gawanywa kwa wagombea wengine(Just for reference CUF kilishika nafasi ya pili 2005). Hapo hauwezi kuniambia kwamba CCM iliiba kura kiasi cha kufika asilimia 81. Ingekua hivyo regularities zingekuwa wazi sana. So you can make the argument kwamba labda hawa kushinda kwa asilimia 81 lakini hauwezi kuiniambia walishindwa.



2005 Lipumba alipata asilimia 11 na ushee Mbowe aka pata asilimia 5 na ushe. Kwa hiyo on virtue ya uchaguzi uliopita tuassume bado CUF ndicho chama cha pili kwa umaarufu Tanzania. Chadema ambao wana tarajia kuongeza kura mwaka huu tuassume wao ndiyo contenders au "rising stars" wa uchaguzi. Je CUF kima fanya nini miaka hii mitano kuhakikisha hizo asilimia 11 zinaongezeka? Na Chadema nacho pamoja na kuwa na mgombea tumaini la wengi je wame fanya nini kupanda toka asilimia 5 kwenda juu? Bado ni vigumu kuamini kwamba ndani ya miaka mitano chama kilicho pata asilimia 11 au asilimia 5 kina weza kupanda ghafla bin vuu na kuvuka kura asilimia 51 za kuukwaa uraisi.



I say CCM is still strong. Chadema wana mgombea bora kuliko Kikwete no doubt(kwa sasa ni vigumu kuwa na mgombea atakae onekana hovyo kuliko huyu mkuu) lakini bado at grassroots level CCM bado ina nguvu sana. Tukumbuke kwamba wengi wetu hatu shawishiwi na vyombo vya habari kuhusu nani tumpigie kura. Wengi wetu political influence zina tokana na familia zetu, majirani zetu na jamii inayo tuzunguuka. Wakati vyama vya upinzani vinaenda kunadi wagombea wao huku chini kuna baba ana mshawishi mama na watoto wapigie kura chama fulani. Je hapo mtu ata msikiliza nani? Mgombea au mtu aliye karibu nae? Kuna small things kwa juu juu havionekani ila vinaipa CCM advantage kubwa tu.

No comments:

Post a Comment