Wednesday, October 20, 2010





Kamanda Gwanda Kilewo akiongea na kuhamasisha wananchi wachague safu ya CHADEMA Oktoba 31, kuanzia Mgombea Udiwani, Mbunge MNYIKA na Rais Slaa!

Nikiwa na Diwani wangu Mushi, Diwani wa Goba anayesubiri Kuapishwa!!

Diwani Mushi, Diwani wa Kata ya Goba. Hakikisheni mnanichagulia safu ya madiwani wangu tuweze kusafisha uozo katika Halmashauri ya Kinondoni

CHADEMA inathamini sana mchango wa makamanda wanawake, hapa Kamanda Judith KAPINGA akiongea na wananchi, pembeni Kamanda Makwilo

No comments:

Post a Comment