Monday, August 23, 2010

Waimbaji wa makundi ya dini kushiriki kampeni


Hivi karibuni kwenye hutuba ya kuvunja Bunge Rais Kikwete aliwatahadharisha wananchi juu ya kuwatumia dini wakati wa kampeni. Lakini cha kustaabisha makundi ya dini yamekuwa yakiripotiwa kushiriki kikamilifu katika kampeni hizo. Hoja ni kwamba, hivi Chama fulani cha upinzani, kikitumia hivi vikundi vya dini kwenye kampeni tafsiri yake itakuwa ipi? Ni kwanini basi CCM yenye kujinadi kutenganisha siasa na dini isionyeshe hilo kwenye kampeni? Kwanini watu wanajifanya hawalioni hili? Na hawa jamaa walivyostrategic vikundi hivi vya dini hutumiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi, ni kwanini wasitumie mikoa yoote mpaka Zenji? Tuanzie hapo...

No comments:

Post a Comment