Tukiwa tunaelekea kwenye Uchaguzi Mkuu Tanzania ambao utafanyika October 31, 2010, Watanzania wazalendo wanachama na wapenzi wa Chadema mnaombwa kuchangia kwa dhati harakati za Chadema ili tuweze kuwafikia Wananchi wengi zaidi katika kila kona ya Tanzania tukitafuta ridhaa yenu ya kuweza kujenga nchi yetu; nchi yenye usawa, uzalendo, maadili na uwajibikaji katika miaka mitano ijayo.
CHANGIA CHADEMA KUPITIA BANK:
CRDB BANK
CHADEMA - M4C
Account Number: 0J1080100600
National Microfinance Bank [NMB]
CHADEMA
Account Number: 2266600140
Unaweza kuweka pesa kupitia tawi lolote la Benki hizi Tanzania.
CHANGIA CHADEMA KUPITIA SMS (MESEJI):
Tuma neno:
"CHADEMA" kwenda namba 15710
"NAJIUNGA" kwenda namba 15710
"SLAA" kwenda namba 15710
Unaweza kutuma meseji mara nyingi kadri unavyoweza na kila ujumbe utagharimu TZS 350/= tu.
HII NI KWA MITANDAO YA ZAIN, TIGO NA VODACOM TU.
CHANGIA KUPITIA M-PESA:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa M-Pesa wanaweza kutumia namba zifuatazo:
0758 223 344
0764 776 673
CHANGIA KUPITIA ZAP:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa ZAP wanaweza kutumia namba hii:
0789 555 333
"Ndugu Zangu Watanzania, tunawaomba kwa dhati kabisa tushikamane, tushirikiane bila kujali itikadi zetu kuchangia harakati hizi, tunawashukuru sana. - Dr. Wilbroad Peter Slaa"
CHAGUA MABADILIKO YA KWELI.
CHANGIA CHADEMA KUPITIA BANK:
CRDB BANK
CHADEMA - M4C
Account Number: 0J1080100600
National Microfinance Bank [NMB]
CHADEMA
Account Number: 2266600140
Unaweza kuweka pesa kupitia tawi lolote la Benki hizi Tanzania.
CHANGIA CHADEMA KUPITIA SMS (MESEJI):
Tuma neno:
"CHADEMA" kwenda namba 15710
"NAJIUNGA" kwenda namba 15710
"SLAA" kwenda namba 15710
Unaweza kutuma meseji mara nyingi kadri unavyoweza na kila ujumbe utagharimu TZS 350/= tu.
HII NI KWA MITANDAO YA ZAIN, TIGO NA VODACOM TU.
CHANGIA KUPITIA M-PESA:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa M-Pesa wanaweza kutumia namba zifuatazo:
0758 223 344
0764 776 673
CHANGIA KUPITIA ZAP:
Kwa watakaotaka kuchangia kwa ZAP wanaweza kutumia namba hii:
0789 555 333
"Ndugu Zangu Watanzania, tunawaomba kwa dhati kabisa tushikamane, tushirikiane bila kujali itikadi zetu kuchangia harakati hizi, tunawashukuru sana. - Dr. Wilbroad Peter Slaa"
CHAGUA MABADILIKO YA KWELI.
CHAGUA CHADEMA.
WASANII WATAKIWA KUTUNZA KUMBUKUMBU YA KAZI ZAO
=====================
Na Alistide Kwizela
Wasanii wametakiwa kutunza kumbukumbu ya kazi zote wanazozifanya ikiwa ni pamoja na kujenga utamaduni wa kutembelea hifadhi za kazi za sanaa za kale ili kuchota ujuzi wa kale na kuboresha sanaa wanazozifanya.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa,Dkt Paul Msemwa wakati akiwasilisha mada yake kuhusu ‘Uhifadhi wa Sanaa za Asili na Changamoto Zake’ kwenye Jukwaa la Sanaa, linalofanyika kila Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kukutanisha wadau wengi wa sanaa.
Alisema kwamba uhifadhi wa kazi za sanaa ni muhimu sana kwani ndiyo chanzo kikubwa cha kujua ni kwa kiwango gani sanaa imebadilika na ni kwa jinsi gani wasanii wataweza kutumia kazi za kale za sanaa katika kuboresha zile wanazozizalisha sasa.
Aliongeza kwamba, sanaa haiwezi kukua kama wasanii watakuwa ni wa kujifungia ndani ya boksi na kubuni vitu vyao bila kutaka kutafiti na kujifunza sanaa za kale zilivyokuwa ili nao waweze kuboresha na kuongeza vionjo kulingana na nyakati tulizonazo sana.
“Ukuzaji wa Sanaa huanza na kujua wengine wanafanya nini halafu ukishajua sasa unaweza kuongeza vionjo na ubunifu kulingana na nyakati zilizopo lakini pia uhitaji wa soko la kazi za sanaa” Alisisitiza Dkt.Msemwa.
Aliyataja matatizo ambayo yanasababishwa na wasanii kutokutunza kumbukumbu ya kazi zao kuwa ni pamoja na kazi zao kutokuthaminiwa,kuuzwa kwa bei za chini,kuibiwa hakimiliki, kuharibiwa, kutoroshwa nje ya nchi pasi na mtu kujali na wasanii kushindwa kujua tarehe na muda kazi zao ziliozalishwa.
Sakata la wasanii hususan wa muziki kupuuzia kutunza kumbukumbu ya kazi zao liliibuka Kwenye Jukwa la Sanaa mwezi mmoja uliopita wakati Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe akiwasilisha mada yake Kuhusu ‘Mwelekeo wa Tunzo za Muziki Tanzania na Changamoto Zake’ ambapo alisema kwamba, wasanii wamekuwa hawatunzi kumbukumbu za kazi zao hali ambayo imekuwa ni changamoto katika uingizaji wa nyimbo zao kwenye tunzo za Muziki Tanzania (Kilimanjaro Music Awards).
Mbali na kuwashauri wasanii kujenga utamaduni wa kuhifadhi kazi zao, aliwashauri kutembela hifadhi za sanaa za kale na kazi zingine za utamaduni ili kujijenga kisanii na kupata kujifunza sanaa za kale zilivyokuwa zinaendeshwa ili sasa waweze kupata pa kuanzia.
Kwa uapande wake Katibu Mtendaji wa BASATA,Ghonche Materego alisema kwamba, utunzaji wa kazi za sanaa ni muhimu sana kwani ndiyo njia pekee ya kuirithisha sanaa kwa vizazi vijavyo.Aliongeza kwamba, lazima kuwepo na utaratibu wa wasanii kuhifadhi kazi zao ili kuhakikisha hazipotei na kusahaulika.
Wadau wengi waliochangia kwenye Jukwa la Sanaa waliishauri serikali kuanzisha Hifadhi za Kazi za Sanaa na Utamaduni katika ngazi mbalimbali za wilaya na mikoa badala ya ilivyo sasa ambapo hupatikana katika maeneo machache.Walisema kwamba, maafisa utamaduni wapewe kazi ya kuratibu zoezi hili ili kufufua utamaduni.
Jukwaa la Sanaa litaendelea tena wiki ijayo na wadau wa sanaa kama kawaida watakuwepo kujadili masuala mbalimbali yahusuyo tasnia hii.
Na Alistide Kwizela
Wasanii wametakiwa kutunza kumbukumbu ya kazi zote wanazozifanya ikiwa ni pamoja na kujenga utamaduni wa kutembelea hifadhi za kazi za sanaa za kale ili kuchota ujuzi wa kale na kuboresha sanaa wanazozifanya.
Wito huo umetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa Makumbusho ya Taifa,Dkt Paul Msemwa wakati akiwasilisha mada yake kuhusu ‘Uhifadhi wa Sanaa za Asili na Changamoto Zake’ kwenye Jukwaa la Sanaa, linalofanyika kila Jumatatu kwenye Ukumbi wa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na kukutanisha wadau wengi wa sanaa.
Alisema kwamba uhifadhi wa kazi za sanaa ni muhimu sana kwani ndiyo chanzo kikubwa cha kujua ni kwa kiwango gani sanaa imebadilika na ni kwa jinsi gani wasanii wataweza kutumia kazi za kale za sanaa katika kuboresha zile wanazozizalisha sasa.
Aliongeza kwamba, sanaa haiwezi kukua kama wasanii watakuwa ni wa kujifungia ndani ya boksi na kubuni vitu vyao bila kutaka kutafiti na kujifunza sanaa za kale zilivyokuwa ili nao waweze kuboresha na kuongeza vionjo kulingana na nyakati tulizonazo sana.
“Ukuzaji wa Sanaa huanza na kujua wengine wanafanya nini halafu ukishajua sasa unaweza kuongeza vionjo na ubunifu kulingana na nyakati zilizopo lakini pia uhitaji wa soko la kazi za sanaa” Alisisitiza Dkt.Msemwa.
Aliyataja matatizo ambayo yanasababishwa na wasanii kutokutunza kumbukumbu ya kazi zao kuwa ni pamoja na kazi zao kutokuthaminiwa,kuuzwa kwa bei za chini,kuibiwa hakimiliki, kuharibiwa, kutoroshwa nje ya nchi pasi na mtu kujali na wasanii kushindwa kujua tarehe na muda kazi zao ziliozalishwa.
Sakata la wasanii hususan wa muziki kupuuzia kutunza kumbukumbu ya kazi zao liliibuka Kwenye Jukwa la Sanaa mwezi mmoja uliopita wakati Meneja wa Bia ya Kilimanjaro George Kavishe akiwasilisha mada yake Kuhusu ‘Mwelekeo wa Tunzo za Muziki Tanzania na Changamoto Zake’ ambapo alisema kwamba, wasanii wamekuwa hawatunzi kumbukumbu za kazi zao hali ambayo imekuwa ni changamoto katika uingizaji wa nyimbo zao kwenye tunzo za Muziki Tanzania (Kilimanjaro Music Awards).
Mbali na kuwashauri wasanii kujenga utamaduni wa kuhifadhi kazi zao, aliwashauri kutembela hifadhi za sanaa za kale na kazi zingine za utamaduni ili kujijenga kisanii na kupata kujifunza sanaa za kale zilivyokuwa zinaendeshwa ili sasa waweze kupata pa kuanzia.
Kwa uapande wake Katibu Mtendaji wa BASATA,Ghonche Materego alisema kwamba, utunzaji wa kazi za sanaa ni muhimu sana kwani ndiyo njia pekee ya kuirithisha sanaa kwa vizazi vijavyo.Aliongeza kwamba, lazima kuwepo na utaratibu wa wasanii kuhifadhi kazi zao ili kuhakikisha hazipotei na kusahaulika.
Wadau wengi waliochangia kwenye Jukwa la Sanaa waliishauri serikali kuanzisha Hifadhi za Kazi za Sanaa na Utamaduni katika ngazi mbalimbali za wilaya na mikoa badala ya ilivyo sasa ambapo hupatikana katika maeneo machache.Walisema kwamba, maafisa utamaduni wapewe kazi ya kuratibu zoezi hili ili kufufua utamaduni.
Jukwaa la Sanaa litaendelea tena wiki ijayo na wadau wa sanaa kama kawaida watakuwepo kujadili masuala mbalimbali yahusuyo tasnia hii.
uwanja wa amaan stadium, zenji

TANZANITE FC YAANZA NA DROO


Timu ya Soka ya Tanzanite FC ya Atlanta Ga, almanusura iibuke kidedea jana katika mechi yao ya kwanza ya Daraja la tatu. Timu hiyo ambayo ilikuwa ikimenyana na timu ngumu ya Fc Silverbacks ya Nocross Ga ilifanikiwa kugawana point na wageni hao baada ya kufungana bao 2-2.
Mchezo ulikuwa mkali na wakuvutia. Wenyeji Tanzanite ndio waliokuwa wa kwanza kuona nyavu za Wageni hao kutoka Nocross kwa goli safi kutoka kwa Abbas.
Iliwachukua wageni hao dk. 20 kurudisha goli hilo kutokana na makosa ya mabeki wa Tanzanite kuchelewa kuokoa mpira ulio panguliwa na Golikipa Togoleni Kirumbi. Hadi tunakwenda half time timu hizo zilikuwa zimefungana 1-1.
Kipindi cha pili ilikuwa ni zamu ya Fc Silverbacks, kwani waliweza kuonyesha soka maridadi na kufanikiwa kuandika bao katika dk. ya 50 kwa mkwaju wa adhabu ndogo.
Haikuwachukua muda Watanzania hao kuswazisha bao hilo kwa goli safi lililofungwa na Malik Mohammed baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa kiuogo Elvis Mnyamuru " Gazza".
Mfungaji alifanikiwa kuwachomoka mabeki wa Silverbacks na kumpiga kipa kanzu kabla ya mpira kujaa kimyani.
Hadi tunakwenda katika studio zetu za " Pugu Road" matokeo yalibakia 2-2. Timu ya Tanzanite Fc itaendelea na mechi zake kila Jumapili.
kampeni yasaidia taifa stars ishinde yazinduliwa leo jijini dar

karibu kwenye libeneke mdau

Waziri mkuu,Mizengo Pinda awasili nchini Uganda leo
mjeno wa BSS unavyoonekana kwa mbele
MBIO ZA VODACOM TANZACAT
balozi Kalaghe afanya mkutano na watanzania waishio Birmingham





Barclays benki ilivyoadhimisha Siku ya Michezo



VIFO VYA AKINA MAMA WAJAWAZITO NA WATOTO VYAPUNGUA TANZANIA
=========================
Na Mary Kweka,Dar Es Salaam.
TAARIFA ya Utafiti wa Afya ya Uzazi na Mtoto wa 2009/10 imebaini kuwa vifo vya akina Mama vitokanavyo na uzazi na watoto wadogo wenye umri chini ya miaka mitano vimepungua kwa kiwango kikubwa.
Hayo yamesemwa leo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Bi Blandina Nyoni wakati alipokuwa akizindua taarifa za awali za utafiti wa afya ya uzazi na mtoto Jijini Da Es Salaam.
Bi Nyoni alisema takwimu zinaonyesha kuwa katikati ya miaka ya tisini vifo vya watoto wadogo chini ya miaka mitano vimepungua kwa asilimia 40 kutoka vifo 137 kwa kila watoto 1000 waliozaliwa hai hadi vifo 81 kwa kila watoto 1000 waliozaliwa hai kwenye kipindi cha miaka ya 2006-2010.
Aidha alisema kwa upande wa vifo vya akina Mama vinavyotokana na matatizo ya uzazi vimepunua kwa asilimia 21, hii ni kutoka vifo 578 kwa kila watoto 100,000 wanaozaliwa hai kwa kipindi cha mwaka 2004-05 hadi vifo 454 kwa kila watoto 100,000 waliozaliwa hai kwa mwaka 2009-2010.
“Katika hatua hii pamoja na kuonekana kuwa Tanzania tumepunguza vifo vya watoto ambavyo ni lengo la nne la maendeleo ya milenia jitihada zinahitajiaka zaidi kufikia lengo namba tano la milenia ambalo linasisitiza kuboresha afya ya uzazi”alisema Bi Nyoni.
Pamoja na mafanikio hayo, Bi. Nyoni alisema mfumo wa ukasanyaji takwimu za Afya bado unakabiliwa na changamoto nyingi ikiwemo jinsi ya kupunguza vifo vya akina mama vinavyotokana na uzazi kwa kuboresha huduma kwa akina Mama wajawazito na huduma ya afya.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu huyo, changamoto nyingine ni pamoja na kupunguza vifo vya watoto wadogo, mijini na vijijini ili kuhakikisha kuwa watotowote hawapotezi maisha utotoni.
Alitoa wito kwa kuwaomba wadau wote hasa wale wanaoisaidia sekta ya afya kutumia kwa ukamilifu taarifa zinazotokana na utafiti huu wa Afya ya uzazi na mtoto kuboresha utoaji wa huduma za afya nchini.
Pia Bi. Nyoni ameihimiza jamii kutumia takwimu hizo kwa ajili ya mipango bora na utekelezaji wa programu mbalimbali za afya katika ngazi zote za utawala kwa ajili ya mipango ya maendeleo ili kuboresha maisha ya watanzania wote.
Utafiti huu umefanywa na kuandaliwa na kikundi cha wataalamu wakiwemo Tanzania and Demographic and Health Survey Technical Working Group, wakishirikiana na Wizara ya Afya, Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Wafanyakazi wa Serikali katika ngazi mbalimbali.
ushauri wa bure kwa wadau wa ughaibini
Habari za Shughuli Mh. Michuzi.
Baada ya salamu,naomba nichukue nafasi hii kutoa ushauri wangu kwa ndugu jamaa na rafiki zetu waishio ughaibuni
Kwa miaka ya karibuni kumekuwepo na matukio ya vifo mbalimbali vya ndugu zetu waishio huku nje na hivyo kulazimu kuomba msaada wa jinsi ya kusafirisha miili ya marehemu hao, na blog hii imekuwa ikitumika sana katika kutoa taarifa hizo za misiba na kuomba misaada hiyo.
Kwanza tunakushukuru kwa kutoa msaada wa kutoa taarifa za haraka kuhusu misiba hiyo
Pili niombe ndugu zetu waliopo nje waanjishe umoja wao katika nchi mbaimbali wanzoishi ambapo watakuwa na akaunti zao maalumu kwa ajili ya matatizo wanayoyapata huko ikiwepo ya misiba ili kuepusha ombaomba tukio linapotoea kwani tunaamini wenzetu waliopo huko wananafasi nzuri zaidi ya kukusanya fedha kwa maendeleo hivyo watumie fulsa hiyohiyo kuanzisha akaunti za misiba
Waige kwetu sisi tuliopo huku nyumbani, mathalani utaona sisi wa Iringa tuishio Arusha tuna umoja wetu wakusaidiana wakati wa matatizo hivyo kutokuwa na tatizo la kuomba msaada zaidi tukio la aina hiyo linapotokea.
Waimarishe umoja wao huko waliko
Asante
Mdau Frank
Arusha
Baada ya salamu,naomba nichukue nafasi hii kutoa ushauri wangu kwa ndugu jamaa na rafiki zetu waishio ughaibuni
Kwa miaka ya karibuni kumekuwepo na matukio ya vifo mbalimbali vya ndugu zetu waishio huku nje na hivyo kulazimu kuomba msaada wa jinsi ya kusafirisha miili ya marehemu hao, na blog hii imekuwa ikitumika sana katika kutoa taarifa hizo za misiba na kuomba misaada hiyo.
Kwanza tunakushukuru kwa kutoa msaada wa kutoa taarifa za haraka kuhusu misiba hiyo
Pili niombe ndugu zetu waliopo nje waanjishe umoja wao katika nchi mbaimbali wanzoishi ambapo watakuwa na akaunti zao maalumu kwa ajili ya matatizo wanayoyapata huko ikiwepo ya misiba ili kuepusha ombaomba tukio linapotoea kwani tunaamini wenzetu waliopo huko wananafasi nzuri zaidi ya kukusanya fedha kwa maendeleo hivyo watumie fulsa hiyohiyo kuanzisha akaunti za misiba
Waige kwetu sisi tuliopo huku nyumbani, mathalani utaona sisi wa Iringa tuishio Arusha tuna umoja wetu wakusaidiana wakati wa matatizo hivyo kutokuwa na tatizo la kuomba msaada zaidi tukio la aina hiyo linapotokea.
Waimarishe umoja wao huko waliko
Asante
Mdau Frank
Arusha
SEMINA YA UTAYARISHAJI WA DAFTARI HATARISHI KATIKA MAHAKAMA



Death announcement
(a.k.a Dru or PAPA)
One of Tanzania's greatest IT specialist Andrew Dachi Kapaga 'Dru' passed away in Botswana on Thursday September 30, 2010. Arrangements to transport his body back home to Tanzania are being made. We will keep you posted of the funeral arrangments.
FRESH YEAR - 07\10\2010 - IN PUNE
MAHALI : LEATHER LOUNGE
MUDA : 1 usiku - 7 na nusu usiku
MUDA : 1 usiku - 7 na nusu usiku
(onwa ataongeza lisaa na nusu kama party ita happen)
KIINGLIO : Rs.500
Rs.600
AGENDA
1. saa 1 - saa 4
2. saa 4 na nusu - mwisho
3. MR AND MRS FRESH YEAR
Karibuni nyote... joeni tuwakaribishe watanzania wenzetu kwa shangwe....
Wananchi mnaombwa mtoe michango yenu kwa viongozi kweney idara zenu kabla ya 06\10\2010..
KOTHRUD - CAPTAIN MAN MAUGO - 9561673746
- JAH PRESIDENT - 9975611365
SANGVI - ALBERT - 9096125446
- SAUDA - 9503740242
KONDHWA - ANDREW - 9545939210
- HELGA - 9730823359
MUNDHWA/KP/BANER/OTHERS - JAH PRESIDENT - 9975611365
kiingilio getini itakua RS.600. Tafadhali tusisumbuane... Hamna Discount/Kujuana/Staff/Uogonzi... KILA MTU
ANALIPA THIS IS BUSINESS NOT PERSONAL.. kama hujatoa mchango, do so quickly...
Katika swala zima la msosi.. tusidanganyane kwamba mtakuta mapizza, maburger, maribs na mazagazaga ya hatari.
ni klabu ya kihindi hence, VEG kasoro kuku... lakini ondoeni hofu kwani dada yetu HELGA ATAKUA NA WAPISHI
ASUBUHI HIYO AKIWAELEKEZA KUPIKA MISOSO ILE ILE LAKINI KIBONGO STLYE...
orodha ya menu ina include:
1.Ubwabwa
2.Butter Chicken
3.Kuku wa kukaanga
4.Chapati
5.Chipsi
6.Chachumbari
Party itaanza rasmi saa 1 usiku ambapo by saa 1 na nusu watu wataanza kula msosi mwisho wa ku-serviwa msosi
itakau saa 4 na nusu usiku... kwa hiyo TAFADHALI TUZINGATIE MUDA...
saa 4 na nusu watu wataanza kuserebuka... Viongozi wawili\watatu watukuwepo wanatembeza FREE SHOTS ndani
ya club. Vinyaji vingine vitauzwa counter.
PLEASE NO SMOKING INSIDE THE CLUB....
Kabla party itaisha itafanyikana survey ya kumtabua MR & MRS FRESH YEAR.... njoeni MMPENDEZA...
TAFDHALI FORWARD HII MESSAGE KWA WABONGO WENZENU...
endapo unamtabua mtu ambayo ajapata hii message on EMAIL ama FACEBOOK...
1.mfowadie
2.mwambie atume NAME/NUMBER/EMAIL to 9975611365
AMANI KWA WOTE
LETS MAKE IT HAPPEN....
1LUV
--
Tanzania Students Association Pune.
KIINGLIO : Rs.500
Rs.600
AGENDA
1. saa 1 - saa 4
2. saa 4 na nusu - mwisho
3. MR AND MRS FRESH YEAR
Karibuni nyote... joeni tuwakaribishe watanzania wenzetu kwa shangwe....
Wananchi mnaombwa mtoe michango yenu kwa viongozi kweney idara zenu kabla ya 06\10\2010..
KOTHRUD - CAPTAIN MAN MAUGO - 9561673746
- JAH PRESIDENT - 9975611365
SANGVI - ALBERT - 9096125446
- SAUDA - 9503740242
KONDHWA - ANDREW - 9545939210
- HELGA - 9730823359
MUNDHWA/KP/BANER/OTHERS - JAH PRESIDENT - 9975611365
kiingilio getini itakua RS.600. Tafadhali tusisumbuane... Hamna Discount/Kujuana/Staff/Uogonzi... KILA MTU
ANALIPA THIS IS BUSINESS NOT PERSONAL.. kama hujatoa mchango, do so quickly...
Katika swala zima la msosi.. tusidanganyane kwamba mtakuta mapizza, maburger, maribs na mazagazaga ya hatari.
ni klabu ya kihindi hence, VEG kasoro kuku... lakini ondoeni hofu kwani dada yetu HELGA ATAKUA NA WAPISHI
ASUBUHI HIYO AKIWAELEKEZA KUPIKA MISOSO ILE ILE LAKINI KIBONGO STLYE...
orodha ya menu ina include:
1.Ubwabwa
2.Butter Chicken
3.Kuku wa kukaanga
4.Chapati
5.Chipsi
6.Chachumbari
Party itaanza rasmi saa 1 usiku ambapo by saa 1 na nusu watu wataanza kula msosi mwisho wa ku-serviwa msosi
itakau saa 4 na nusu usiku... kwa hiyo TAFADHALI TUZINGATIE MUDA...
saa 4 na nusu watu wataanza kuserebuka... Viongozi wawili\watatu watukuwepo wanatembeza FREE SHOTS ndani
ya club. Vinyaji vingine vitauzwa counter.
PLEASE NO SMOKING INSIDE THE CLUB....
Kabla party itaisha itafanyikana survey ya kumtabua MR & MRS FRESH YEAR.... njoeni MMPENDEZA...
TAFDHALI FORWARD HII MESSAGE KWA WABONGO WENZENU...
endapo unamtabua mtu ambayo ajapata hii message on EMAIL ama FACEBOOK...
1.mfowadie
2.mwambie atume NAME/NUMBER/EMAIL to 9975611365
AMANI KWA WOTE
LETS MAKE IT HAPPEN....
1LUV
--
Tanzania Students Association Pune.
bonanza la TBL,lidaz klabu
Baadhi ya Mameneja wa kampuni ya Bia Tanzania,toka kulia ni Flavian Ngole,Zozimick Kimati na Reginald Mosha wakibadilishana mawazo wakati wa Bonanza la wafanyakazi wa TBL lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Lidaz Klabu.
vijana wa kazi wakipata mawaidha wakati wa mapumziko ya mtanange uliopigwa katika Bonanza hilo katika viwanja vya Lidaz Klabu,mwishoni mwa wiki iliyopita.
sasa ni zamu ya kuweka sawa koo kwa kupata vinywaji murua kabisa kutoka kampuni ya Bia Tanzania (TBL) katika Bonanza lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Lidaz Klabu.
Dk. BILAL AFUTA YA LIPUMBA KISIWA CHA MAFIA

TANGAZO:NYUMBA INAUZWA KUNDUCHI BLOCK F
NYUMBA INAUZWA KUNDUCHI BLOCK F.INA HATI HALALI ILIYOSAJILIWA NA WIZARA YA ARDHI.INA VYUMBA VITATU VYA KULALA NA KIMOJA CHA MASTER.INA UMEME WA TANESCO,INA MAJI YA DAWASCO,INA KISIMA CHA AKIBA CHENYE UWEZO WA KUHIFADHI MAJI LITA 40 ELFU NA MATENKI YA AKIBA 2 YA JUMLA YA LITA 6000.
TILES ZIMEWEKWA NYUMBA YOTE,MAKABATI KATIKA VYUMBA VYA KULALA,MAKABATI YA JIKONI,INA STOO 2 NA VYOO VYA JUMUIA 2.MBELE INA GARDEN YA MAUA,NYUMA INA GARDEN YA MATUNDA.IMEZUNGUSHIWA FENSI YENYE MIKUKI KWA AJILI YA ULINZI.IMEWEKWA PEVIN BLOCK NYUMBA NZIMA.INA AC SEBULENI NA MASTER BEDROOM,INA HEATER KUCHEMSHA MAJI KATIKA BAFU ZOTE.
MAWASILIANO PIGA NAMBA 0655303997 KWA WANUNUZI
No comments:
Post a Comment